.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Novemba 2015

PAPA ATAKA MAKANISA KTOFUNGA MILANGO YAKE KWA KUOGOPA UGAIDI

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema milango ya makanisa ya kikatoliki duniani inapaswa kuwa wazi licha ya hofu ya usalama baada ya mashambulizi ya Jijini Paris.

Akiongea na mahujaji St Peter square nchini Italia Papa Francis ameyataka makanisa Katoliki duniani kutoweka ulinzi mkali milango, kwani milango ya kanisa inapaswa kuwa wazi kwa watu.

Amesema kuwa kunamaeneo duniani ambayo milango inapaswa kufungwa kwa funguo, na kuna baadhi ya maeneo milango hulindwa kwa ulinzi mkali na hilo limeanza kuwa ni kama desturi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni