.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Novemba 2015

MARAIS UHURU KENYATTA WA KENYA NA YOWERI MUSEVENI WA UGANDA WAWASILI LEO ASUBUHI KUSHUHUDIA UAPISHO WA DKT. MAGUFULI


Rais wa Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.


Rais wa Kenya akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Haule.

Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Mhe. Museveni akisalimiana na Afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, Bi. Ngusekera Nyerere.


                                                                                 Rais Museveni akikagua gwaride.

                                                                                          Picha na Reginald Philip

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni