.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 20 Novemba 2015

MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA SHEREHE ZA KUMWAPISHA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA

lu01
Rais John Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na mkewe Mary Majaliwa baada ya kumwapisha Waziri Mkuu kwenye ikulu ndogo ya Chamwinomjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu1
Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi baada ya kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu02
lu2
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Buchosa, Dkt.Charles Tizeba baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino Dodoma Novemba 20, 2015. (picha na Ofisi ya Maziri Mkuu)
lu3
Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe baada ya kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu4
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu5
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akipongezwa na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Lindi, Sheikh Mtopa baada ya kuapishwa kwenye ikulu ndogo ya Chamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu6
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu8
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu9 lu10

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni