.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 20 Novemba 2015

MINYOO YADAIWA KUSAIDIA KUONGEZA UWEZO WA WANAWAKE KUTUNGA MIMBA

Wanasayansi wamebaini kuwa maambukizi ya minyoo kwa wanawake yanachangia uwezo wa kutunga mimba kwa wanawake.

Utafiti uliofanywa kwa jamii ya kijijini ya wanawake wa Bolivia umebaini maambukizi ya minyoo aina ya Ascaris lumbricoides, husaidia mwanamke kupata watoto wawili zaidi.

Watafiti walioandika utafiti wao huo kwenye jarida la Sayansi, wameafiki kuwa minyoo huzuia mfumo wa kinga na kufanya kuwa rahisi kwa mwanamke kupata ujauzito.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni