.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 2 Novemba 2015

MIILI YA WATU 144 WALIOKUFA SIKU YA JUMAMOSI KWA AJALI YA NDEGE YAPELEKWA URUSI

Miili ya watu 144 waliokufa siku ya jumamosi katika ajali ya ndege nchini Misri, imesafirishwa kurejeshwa St Petersburg Urusi wakati uchunguzi wa chanzo cha ajali hiyo ukiendelea.

Watu wote 224 waliokuwa kwenye ndege hiyo wengi wao wakiwa raia wa Urusi wamekufa baada ya ndege hiyo kuanguka kaskazini mwa penisula ya Sinai.

Taifa la Urusi liliitumia siku ya jana kufanya maombolezo ya kitaifa baada ya ajali hiyo mbaya ya ndege.
                                         Polisi wa Urusi wakisubiri kupokea miili ya watu 144

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni