.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 6 Novemba 2015

MOURINHO KUTUMIA SIMU KUWASILIANA NA BENCHI LA UFUNDI BAADA YA KUPIGWA MARUFUKU

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho ataweza kuwasiliana kwa simu na benchi la ufundi siku ya jumamosi licha ya kupigwa marufuku kuwepo uwanjani.

Mourinho ataangalia mechi dhidi ya Stoke katika hoteli ya jlabu baada ya kuagizwa kutokanyaga uwanjani ikiwa ni adhabu iliyotolewa na FA.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni