.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 29 Novemba 2015

MSHAMBULIAJI JAMIE VARDY AMEVUNJA REKODI ALIYOWEKA RUUD VAN NISTELROOY

Mshambuliaji Jamie Vardy amevunja rekodi aliyoweka Ruud van Nistelrooy, baada ya jana kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli 11 mfululizo katika mechi za Ligi Kuu ya Uingereza.

Mshambuliaji huyo wa Leicester alifunga goli katika kipindi cha kwanza katika mchezo ulioishia kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Manchester United.

Mholanzi Van Nistelrooy aliweka rekodi ya kupachika mabao 10 mfululizo akiwa na Manchester United katika msimu wa 2003.

Goli hilo la Vardy linafanya idadi ya mabao 14 aliyoyafunga katika msimu huu na kuongoza kwa kupachika mabao hadi sasa. 
                                       Bastian Schweinsteiger akifunga pao lake kwa kichwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni