.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 20 Novemba 2015

MVUA ZACHUKUA UHAI WA WATU 40 NCHINI KENYA NA KUJERUHI MAKUMI

Watu wapatao 40 wamekufa na makumi kujeruhiwa huku mamia wakiwachwa bila ya makazi kufuatia mvua kubwa zinanzonyesha nchini Kenya.

Hapo jana mtoto wa kiume amepoteza maisha baada ya kuzama kwenye maji katika machimbo ya kokoto Taita Taveta ambapo alikuwa akicheza na rafiki zake.

Mvua kubwa zimeathiri karibu nusu ya nchi ya Kenya katika kaunti 24, huku Shirika la Msalaba Mwekundu likiongoza jitihada za kuokoa waathirika wa mafuriko.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni