.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 20 Novemba 2015

NYOTA WA HOLLYWOOD JEAN-CLAUDE VAN DAMME ATINGA MANCHESTER CITY

Nyota wa Hollywood Jean-Claude Van Damme ametinga katika mazoezi ya timu ya Manchester City na kupata muda wa kupiga picha na wachezaji wa timu hiyo wakiwemo Wabelgiji wenzake Vincent Kompany na Kevin De Bruyne.

Nyoto huyo anayetambulika kama mtu mwenye misuli kutoka Ubelgiji, alitengeneza jina lake katika filamu kama Bloodsport, Hard Target na Universal Soldier, yupo Jijini Manchester kuhudhuria hafla black-tie dinner.

Mbabe huyo mkongwe wa mapigano ya kickboxer ambaye kwa sasa amekuwa akioneakana mno kwenye matangazo ya bia kuliko kwenye filamu pia alipiga picha na wachezaji Yaya Toure, Sergio Aguero pamoja na kocha Manuel Pellegrini.
                                                             Van Damme akiwa na Vincent Kompany 
                                                                     Van Damme akiwa na Sergio Aguero
                           Van Damme akiwa na kocha wa Man City Manuel Pellegrini

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni