.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 20 Novemba 2015

BURUNDI YAWATAKA RAIA WA UBELGIJI WOTE WAONDOKE NCHINI HUMO

Chama Tawala cha Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji ambao ni taifa lililokuwa likiitawala nchi hiyo wakati wa ukoloni, waondoke nchini humo.

Nchi ya Burundi inaituhumu Ubelgiji, kujihusisha na makundi ya upinzani ambayo inawashutumu kwa wimbi la mauaji.

Machafuko ya Burundi yalianza Aprili mwaka huu wakati rais Pierre Nkurunziza alipotangaza dhamira yake ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni