Milio ya risasi imesikika kwenye
ghorofa ya saba ya hoteli hiyo yenye vyumba 190, ambapo inasadikiwa
wapiganaji 10 wamekuwa wakipita kila ghorofa na kuwateka wageni 140
na wafanyakazi 30.
Mashahidi wamesema kuwa wapiganaji
hao wenye silaha wamewaruhusu watu 20 kutoka katika hoteli hiyo baada
ya kujiridhisha kuwa ni waislam kufuatia kusoma aya za Kuraan mbele
ya wapiganaji hao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni