.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Novemba 2015

NDEGE YA URUSI ILIYOANGUKA MISRI HUENDA ILITUNGULIWA KWA BOMU

Uchunguzi wa Kiintelejinsia unadhani kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka Misri na kuuwa watu 224 waliokuwamo iliangushwa kwa bomu, Marekani na Uingereza zimesema.

Hata hivyo Marekani na Uingereza zimesema hawajafikia hitimisho la kuwa na uhakika wa asilimia 100 kuwa ndege hiyo iliangushwa kwa bomu.

Uingereza mapema ilisitisha safari za ndege zake kwenda na kurejea kutoka eneo la Sharm el-Sheikh nchini Misri, sehemu ambako ndege zilikuwa zikiondokea.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni