.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Novemba 2015

MAHAKAMA KUU YA MEXICO YARUHUSU KIDOGO MATUMIZI YA BANGI

Uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Mexico wa kuruhusu kidogo matumizi ya bangi unaweza hatimae kufungua njia ya kuruhusiwa matumizi ya bangi nchini humo.

Watu wanne kutoka Jamii ya Wamexico wa Matumizi ya Bangi ya Binafsi kwa Uvumilivu, wataruhusiwa kupanda bangi yao na kuivuta.

Bangi bado hairuhusiwi kuuzwa Mexico lakini baadhi ya watu wanasema uamuzi huo wa mahakama utasaidia kufanikisha kuhalilishwa bangi.

Mexico imekuwa ikigubikwa na mapigano yanayohusisha magenge ya dawa za kulevya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni