.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Novemba 2015

RAIS WA TAIWAN MA YING-JEOU KUKUTANA NA RAIS WA CHINA XI JINPING

Rais wa Taiwan Ma Ying-jeou atakutana na rais wa China Xi Jinping Jijini Singapore jumamosi ikiwa ni kwa mara ya kwanza kufanya hivyo kwa marais wa mataifa hayo.

Mazungumzo hayo ya pande hizo mbili yatajikita katika kuboresha uhusiano na Taiwan.

China ilidai kuwa kisiwa cha Taiwan ni dola lake tangu mwaka1949, baada ya serikali ya kitaifa kukimbia baada ya kudhibitiwa na Wakomonisti.

Hata hivyo uhusiano umeimarika tangu rais Ma aingie madarakani mwaka 2008.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni