.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Novemba 2015

RAIS ABDUL FATTAH AL-SISI AMETETEA SHERIA KALI ZA MISRI

Rais Abdul Fattah al-Sisi ametetea sheria kali za Misri za kukamata wapinzani wenye misimamo mikali akisisitiza kwa nchi hiyo ipo katika njia ya kuelekea katika demokrasia.

Sisi anayetarajiwa kwenda Uingereza, ameviambia vyombo vya habari kuwa Misri inatishiwa na vikundi vyenye itikadi kali na inahofia kuanguka kwa utawala kulikoathiri majirani zake.

Rais Sisi amesema hali ya Misri inahitaji sheria kali ili kudhibiti kutokea machafuko kwa kuwa ni tofauti na hali ya Ulaya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni