.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Desemba 2015

CHINA YATOA TAHADHARI YA PILI YA MOSHI WA UCHAFUZI WA HEWA BEIJING

Mamlaka za Jiji la Beijing nchini China zimetoa tahadhari ya pili ya uchafuzi wa hewa, ikiwa ni chini ya wiki tangu itoe tahadhari kama hiyo kwa mara ya kwanza.

Jiji hilo kuu la China litakuwa na moshi mzito kuanzia jumamosi hadi jumanne, Idara ya Hali ya Hewa ya Beijing imeeleza.

Kituo cha Mamlaka ya Hali ya Hewa cha Taifa China, kimesma maeneo ya Xian kati kati ya China na Harbin kaskazini mashariki nayo yataathiriwa na hali ya hewa ya moshi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni