.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Desemba 2015

PAPA FRANCIS ARIDHIA KUTAMBUA MUUJIZA WA PILI ULIOFANYWA NA MAMA TERESA

Papa Francis ameridhia kutambua muujiza wa pili uliofanywa na Mama Teresa, na kufungua milango kwa mtawa huyo wa Kanisa Katoliki kutangazwa mtakatifu mwakani.

Muujiza huo unahusiana na Mama Theresa kumponya mwanaume mmoja wa Brazil aliyekuwa na uvimbe kwenye ubongo mwaka 2008, Vatican imesema.

Mama Teresa alikufa mwaka 1997, na aliingizwa katika mchakato wa kutangazwa mtakatifu mwaka 2003.

Mtawa huyo ameshinda Tuzo ya Nobeli kwa kazi zake kwa masikini wa makazi duni katika mji wa Calcutta nchini India.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni