.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Desemba 2015

CRISTIANO RONALDO AJIPANGA KUWEKEZA KATIKA HOTELI BAADA YA KUACHANA NA SOKA

Nyota wa soka Cristiano Ronaldo ameanza kufikiria kuhusu hatua za baadae za kimaisha baada ya kukiri kuwa hawezi kuichezea Real Madrid daima.

Mshambuliaji huyo wa Real Madrid, mwishoni mwa msimu huu anamipango mikubwa ya mustakabali wake wa baadae nje ya soka.

Jana Ronaldo amebainisha mradi wake mkubwa usio wa soka, wa dola milioni 54 wa CR7 hoteli katika miji mitatu ambayo alichezea soka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni