.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Desemba 2015

RAFIKI WA WANDANDOA WALIOFANYA MASHAMBULIZI SAN BERNARDINO AFUNGULIWA

Rafiki mmoja wa wandandoa waliofanya mashambulizi San Bernardino amefunguliwa mashtaka ya kuhusika na mauaji ya kutumia risasi ya watu 14.

Mtu huyo Enrique Marquez, miaka 24 anakuwa mtu wa kwanza kufunguliwa mashtaka kwa kuhusika na mashambulizi hayo mabaya ya kigaidi tangu tukio la Septemba 11.

Bw. Marquez amefunguliwa mashtaka kupanga mashambulizi ya kutumia bunduki na Syed Farook kwenye chuo kimoja mwaka 2011 na 2012.

Pia anashtakiwa kwa kununua kinyume na sheria bunduki mbili aina ya rifles zilizotumiwa kwa mauaji na Farook na Tashfeen Malik.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni