.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Desemba 2015

MAHAKAMA YA JAPAN YAKAZIA SHERIA YA WANANDOA KUTUMIA JINA MOJA LA UKOO

Mahakama Kuu ya Japan imekazia sheria inayosema wanandoa wanapaswa kutumia jina moja la ukoo, uamuzi ambao unachukuliwa kama pigo kwa wanaharakati wa haki za wanawake.

Wapiga kampeni wamekuwa wakisema sheria hiyo ni kandamizi, kutokana na wanandoa wengi kuishia kutumia jina la ukoo wa waume zao.

Hata hivyo madai hayo yamepingwa na mahakama ambayo imesema sheria hiyo haivunji Katiba ya nchi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni