.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Desemba 2015

KIMBUNGA TORNADO CHA HARIBU NYUMBA NA MIUNDOMBINU SYDNEY

Mvua inayoambatana na kimbunga cha tornado imeikumba Sydney ambapo rekodi za hali ya hewa zimeripoti upepo wenye kasi katika jimbo la New South Wales.

Upepo huo wenye madhara wenye spidi ya kilomita 213km/h umelikumba eneo la Kurnell, kusini mwa Botany Bay, leo asubuhi.

Watu wawili wamepelekwa hospitali mmoja akiwa ameumia kichwani, mwingine akisumbuliwa na mshtuko.
                 Uharibifu uliofanywa na tornado kama unavyoonekana kwenye picha 
                 Mtu akiwa ameweka mkononi bonge la jiwe la barafu lililoanguka

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni