.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Desemba 2015

MATAIFA 34 YA KIISLAM YAUNDA KIKOSI CHAO CHA KUPAMBANA NA UGAIDI

Saudi Arabia imesema mataifa 34 ya Kiislama yamejiunga na kikosi walichokiunda cha kukabiliana ugaid.

Chombo cha taifa hilo kimesema kuwa makao makuu ya umoja yatakuwepo katika jiji la Riyadh nchini Saudi Arabia.

Mataif ya Asia, Afrika na za Kiarabu zinahusika katika muungano huo lakini mpinzani mkuu wa Saudi Arabia nchi ya Iran haijajiunga.

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na shinikizo la kimataifa kwa nchi za Ghuba kuongeza jitihada za kupambana na kundi la Dola ya Kiislam (IS).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni