.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Desemba 2015

DAKTARI WA DONALD TRUMP ASEMA MGOMBEA HUYO AFYA YAKE HAINA TATIZO

Daktari wa mgombea wa urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Bw. Donald Trump, amesema mgombea huyo afya yake ipo imara na hana tatizo lolote la kiafya.

Bw. Trump amekuwa katika shinikizo la kutoa taarifa ya historia ya hali ya afya yake baada ya wagombea urais kadhaa wa Marekani kufanya hivyo.

Bw. Trump (69) ambaye ni tajiri wa majumba, iwapo atapitishwa na chama chake na kushinda urais wa Marekani atakuwa rais mzee kuwahi kuchaguliwa katika historia ya Marekani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni