.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 30 Desemba 2015

MVUA YA GHARIKA YATISHIA KUCHOCHEA MAAFA ZAIDI ULAYA

Mvua ya gharika mpya inatishia kuchochea maafa zaidi katika maeneo kadhaa ya Ulaya, yakiwemo maeneo yaliyoathiriwa vibaya na mafuriko.

Mvua ya gharika Frank, inatarajiwa kuanza jana jioni, huku maeneo ya Cumbria na kusini na kati ya Scotland yakiwa hatarini.

Kumekuwepo na tahadhari tisa za mafuriko, yakimaanisha hatari kwa maisha ya watu na wanyama Uingereza, Wales hususan katikati ya York ambayo yameathiriwa vibaya na mafuriko jumamosi.

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ametetea matumizi ya serikali yake katika kukabiliana na mafuriko baada ya madhara kutokea kaskazini mwa Uingereza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni