Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akisalimiana na balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad wakati akimpokea ofisini kwake kwa ajili ya ziara ya kutembelea kituo cha kufua umeme cha Kikuletwa.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akisalimiana na Mkurugenzi wa Chuo cha Ufundi cha Arusha,(Arusha Techinical) Dkt Richard Masika aliyeongozana na balozi wa Norway katika ziara ya kutembelea kituo cha kufulia umeme cha Kikuletwa.
Mkurugenzi wa Chuo cha Ufundi cha Arusha ,Dkt Richard Masika akiteta jambo na Balozi wa Norway Kaarstad ofisini kwa mkuu wa wilaya ya Hai.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni