.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 26 Januari 2016

BUNGE LA DENMARK KUPIGA KURA PENDEKEZO TATA DHIDI YA WAHAMIAJI

Bunge la nchini Denmark litapigia kura pendekezo lenye utata mkubwa la kushikilia mali zenye thamani za wahamiaji wanaoomba hifadhi ili kufidia kulipia gharama za kuwatuza.

Pendekezo hilo linakabiliwa na ukosoaji mkubwa nchini humo pamoja na nje ya nchi hiyo tangu lilipotangazwa na serikali ya Denmark mapema mwezi huu.

Mamlaka za nchi hiyo zimesisitiza kuwa sera hiyo inawafanywa wahamiaji wawe sawa na raia wa Denmark wasio na ajira, ambao hulazimishwa kuuza vitu vyao vya thamani vya kiasi fulani ili kunufaika na msaada wa serikali.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni