Mwanamuziki Celine Dion amekanusha
taarifa kuwa ataimba kwenye mazishi ya mumewe Rene Angelil.
Mwakilishi wa Dion amekanusha vikali
uvumi huo kuwa ataimba katika kumuenzi mumewe huyo aliyedumunae
kwenye ndoa kwa miaka 21.
Hata hivyo msemaji wake huyo amekiri
kuwa nyimbo moja ama mbili za Celine Dion zitapigwa kwa sauti ya
chini wakati wa mazishi ya Rene Angelil.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni