Celine Dion ameungana na mashabiki
wa marehemu mumewe Rene Angelil kutoa heshima za mwisho hapo jana
huko Old Montreal kwenye kanisa la Notre-Dame Basilica.
Mjane Celine alifunika uso kwa
kitamba chenye wavu, akiwa amevalia gauni jeusi huku akionekana
mwenye majozi na wakati mwingine kububujikwa na machozi.
Mumewe huyo Angélil alifariki dunia
kwa saratani ya koo akiwa na umri wa miaka 73 Januari 14, na mazishi
yake yatafanyika Ijumaa hapo Basilica.
Celine Dion akimgusa begani mumewe wakati wa kutoa heshima za mwisho
Mashabiki wakiuaga mwili wa mume wa Celine Dion
Celine Dion akipewa pole na mmoja wa waombolezaji
Mazishi ya Rene yataonekana live hii leo kwa kufuata maelekezo hapo juu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni