Mwanamuziki nyota wa Pop Mariah
Carey na bilionea Muastralia James Packer wamefunga uchumba na
wanatarajia kuoana.
Wapenzi hao walibainisha penzi lao
hilo mbele ya umma Juni mwaka jana baada ya kuonekana wakiwa pamoja
kwenye mapumziko nchini Italia.
Packer, 47, ni raia wa Australia
wanne kwa utajiri nchini humo kwa mujibu wa jarida la Forbes, akiwa
na utajiri wa dola bilioni 3.1.
Mwanamuziki Mariah Carey, 45,
aliachia albamu yake ya kwanza 1990 na nimingonei mwa wasanii wakubwa
waliouza mauzo mengi ya kazi zao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni