.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 17 Januari 2016

CRISTIANO RONALDO NA KARIM BENZEMA WAONGOZA MAUAJI

Real Madrid imeifunga Sporting Gijon mabao 5-1 lakini pia wamewapoteza Gareth Bale na Karim Benzema kwa kupata majeruhi, na wengeweza kumpoteza Cristiano Ronaldo katika kipindi cha pili kwa kumpiga teke Nacho Cases lakini refa Alberto Unidano akamezea.

Kuumia kwa wachezaji hao wawili na kitendo cha Ronaldo kujiwehusha na kumpiga teke Cases yalikuwa ndio matukio magumu pekee katika ushindi mwingine wa kocha mpya wa Real Zinedine Zidane.

Katika mchezo huo Bale aliandika bao la kwanza, Ronaldo alipachika mabao mawili na Karim Benzema naye alipachika mabao mawili, huku Gijon ikipata bao pekee kupitia Isma Lopez.
                                                     Karim Benzema akifunga bao lake la pili
                                      Cristiano Ronaldo akifunga bao katika mchezo huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni