.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 17 Januari 2016

PAPA FRANCIS AWASALIMIA MAELFU YA WAHAMIAJI KATIKA UWANJA WA ST PETER


Papa Francis amewasalimia maelfu ya wahamiaji katika uwanja wa St Peter huko Vatican, wakati Kanisa Katoliki likiadhimisha siku ya wakimbizi.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Duniani, amewaambia wahamiaji hao kuwa wamebeba historia, utamaduni na maadili bor, huku akiwataka wasikate tamaa.

Wahamiaji hao wengi wao wakiwemo wanaoomba hifadhi walikuwa wakipeperusha bendera za mataifa yao wakati Papa Francis alipokuwa akiwahutubia.
Mataifa ya Ulaya yamekuwa yakihaha katika kumudu kukabiliana na wimbi la kasi ya ongezeko la wahamiaji.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni