.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Januari 2016

CRYSTAL PALACE YAMREJESHA LIGI KUU YA UINGEREZA EMMANUEL ADEBAYOR

Mshambuliaji Emmanuel Adebayor amrejea kwenye Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kukamilisha uhamisho wa kushtukiza kujiunga na Crystal Palace.

Klabu hiyo ya Crystal Palace imethibitisha kuwa mchezaji huyo wa zamani wa Tottenham aliyeachwa na klabu hiyo amejiunga nao kwa mkataba hadi mwisho wa msimu huu.

Emmanuel Adebayor alikuwa akijifua kujiweka fiti kwa muda wote wakati akitafuta klabu ya kuchezea.
                       M/Kiti wa Crystal Palace, Steve Paris akipeana mkono na Adebayor

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni