.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Januari 2016

KLABU 35 ZA SOKA NCHINI ITALIA ZACHUNGUZWA KWA KUKWEPA KODI

Uchunguzi wa kosa la kukwepa kodi kwa klabu kubwa 35 za nchini Italia za daraja la kwanza umeanza kufanyika.

Polisi wa nchi hiyo wa kikosi cha masuala ya fedha wameanza kuendesha msako na kushikilia mali zinazodaiwa kufikia euro milioni 12.

Kesi hiyo inahusisha watu 58 wa soko la kulipwa, mwendesha mashtaka wa Naples amesema kwenye taarifa yake.

Mawakili wa klabu ya AC Milan amesema makamu wa rais wa klabu hiyo Adriano Galliani ni miongoni mwa wanaochunguzwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni