.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 14 Januari 2016

INDONESIA YAKUMBWA NA MFULULIZO YA MILIPUKO NA MILIO YA RIASI

Mfululizo wa milipuko umelikumba Jiji Kuu la Jakarta nchini Indonesia na kufuatiwa na milio ya risasi na kunataarifa za kutokea milipuko zaidi.

Watu wapatao saba wameuwawa na milipuko hiyo, ambayo imetokea katika maeneo kadhaa ikiwemo maeneo ya maduka yaliyopo makazi ya rais na ofisi za Umoja wa Mataifa.

Mamia ya polisi kikiwemo kikosi cha wataalamu wa kulenga shabaha wapo mitaani wakipambana na washambuliaji. 
                                                             Kikosi maalum cha polisi kikiwa kazini
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni