.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Januari 2016

IRANI YASEMA MAREKANI IMEOMBA RADHI KWA KITENDO CHA MABAHARIA WAKE KUINGIA ENEO LA IRAN

Vikosi vya taifa vya ulinzi wa majini vya Iran vimesema Marekani imeomba radhi kutokana na boti ya mabaharia wake wa kijeshi 10 kukamatwa katika eneo la majini la Iran.

Mkuu wa kikosi hicho cha Iran, Jenerali, Ali Fadavi amewatuhumu mabaharia hao kwa kitendo chao cha kutozingatia taaluma na sheria za nchi.

Hata hivyo Jenerali Fadavi amesema kunauwezekano wa kundi hilo la Wamarekani hao wanaoshikiliwa na Iran kuachiliwa hivi karibuni.
  Wanajeshi Mabahari wa Marekani wakiwa katika chumba wanachoshikiliwa nchini Iran

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni