.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Januari 2016

WAZIRI WA SCOTLAND BW. DAVID MUNDELL AJITANGAZA HADHARANI KUWA NI SHOGA

Waziri wa Scotland, Bw. David Mundell ameamua kuanika hadharani kuwa yeye ni shoga.

Mundell ambaye ni baba wa watoto watatu, ambaye ametengana na mkewe amechapisha kwenye taarifa hiyo kwenye tovuti yake na kuandika 'new year, new start!'

Bw. Mundell, ambaye ni waziri wa kwanza wa chama cha Conservative kujitangaza kuwa ni shoga amesema atakuwa na furaha kuona umma unamkubali jinsi alivyo.
                           Waziri David Mundell akiwa na watoto wake Lewis na Oliver

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni