.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 25 Januari 2016

JOCKTAN MALULI, DANIEL MSIRIKALE WAIBUKA WASHINDI KATIKA SHINDANO LA BONGO STYLE


Mshindi wa Ubunifu mitindo Jocktan Cosmas Maluli A.k.a Makeke (aliyeshika cheti) akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa shindano hilo kuanzia kushoto ni Zamda George, Comfort Badaru, Martin Kadinda, Reuben Nabora na Stanley Kamana. 

Mshindi wa kipengele cha The Best Photographer, Daniel Msirikale (mwenye miwani) akipokea tuzo yake.

Mlezi wa FASDO, Reuben Nabora akitoa salamu kutoka kwa mwasisi wa FASDO, Lilian Nabora aliyeko Ubelgiji.
Mratibu wa FASDO nchini, Joyce Msigwa akitoa muhtasari wa shindano la Bongo Style.
                                                    Mshereheshaji, Mario Mpingirwa akifafanua jambo.


        Mtumbuizaji wa ngoma za asili akionesha uwezo wake wa kuchezea nyoka.

                                    Baadhi ya viongozi wa wa FASDO wakifuatilia shindano hilo.
                                Majaji wa ubunifu mitindo wakitathmini kazi za washiriki wao.
                  Majaji wa upande wa wapiga picha wakitazama kazi za washiriki wao.

Mshindi wa ubunifu mitindo, Joc akiwa katika picha ya pamoja na wanamitindo wanaoonesha mavazi yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni