Mwanaume mwenye umri mkubwa kuliko
wote duniani amefariki dunia leo Japan katika mji wa Nagoya akiwa na
umri wa miaka 112.
Mzee huyo Yasutaro Koide,
aliyezaliwa Machi 13 mwaka 1903, alitambulishwa rasmi kuwa mtu mzee
kuliko wote na Guinness World Records, Agosti mwaka jana.
Koide amesema siri yake ya kuishi
miaka mingi ni kutovuta sigara, kutokunywa pombe, kutokufanya vitu
kupitiliza na kuishi kwa furaha.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni