Wanajeshi watano wa Ufaransa
wamefariki kufuatia maporomoko ya theluji yaliyotokea wakati
wakifanya mazoezi kwenye Mlima Alps.
Maporomoko hayo ya barafu yalitoke
eneo la chini la Valfrejus, ambalo si mbali sana na mpaka wa Italia
ambapo wanajeshi 50 wa Ufaransa walipokuwa wakifanya mazoezi.
Zoezi la kuwatafuta wanajeshi hao
likihusisha mbwa na helkopta lililianza mara moja.
Pia watalii wa Ukraine wamefariki
kwa maporomoko eneo la Les Deux Alpes, kilomita 124 kutoka katika
tukio hilo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni