Wanajeshi 16 wa Kenya walionusurika
wiki iliyopita katika shambulizi la Al-Shabaab kwenye kambi ya jeshi
nchini Somalia wamewasili Nairobi hii elo.
Wanajeshi hao wamewasili katika
uwanja wa ndege wa Wilson majira ya mchana wakiwa na ndege ya jeshi.
Wanajeshi hao wamepokelewa na Waziri
wa Ulinzi Kenya Raychelle Omamo pamoja na Mkuu wa Majeshi Samson
Mwathethe.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni