.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 18 Januari 2016

RAIS WA SENEGAL APUNGUZA MIAKA MIWILI KATIKA MUHULA WAKE WA URAIS

Rais wa Senegal, Macky Sall amependekeza kupunguza muda miaka miwili katika muhula wake wa urais katika hatua za kuimarisha Demokrasia.

Kubadili muda wa muhula wa urais kutoka miaka saba hadi mitano ni sehemu ya mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba ambayo yatapigiwa kura ya maoni.


Wakati rais Sall akipinguza muda wake wa urais, marais wa mataifa mengine kadhaa ya Afrika hivi karibuni wamekuwa wakibadili Katiba ili kuongeza muda wa kuendelea kukaa madarakani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni