.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 21 Januari 2016

MATOKEO YA KIFO CHA JASUSI WA URUSI ALIYEUWAWA KWA SUMU KUTOLEWA

Matokeo yaliyokuwa yanangojewa kwa muda mrefu kuhusiana na kifo cha aliyekuwa jasusi wa Urusi, Bw. Alexander Litvinenko yanatarajiwa kutolewa na Jaji.

Bw. Litvinenko alikufa akiwa na umri wa miaka 43 Jijini London mwaka 2006, siku kadhaa kupita tangu awekewe sumu ya mionzi ya polonium-210, ambayo inaaminika aliinywa kwenye kikombe cha chai.

Watu wawili raia wa Urusi waliotuhumiwa kuhusika na kifo hicho Andrei Lugovoi pamoja na Dmitry Kovtun, wamekanusha kutenda kosa hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni