Kundi la mawakili, wanaharakati na
wanasayansi nchini Brazil wameiomba mahakama kuu ya nchi hiyo
kuruhusu utoaji kwa wanawake wenye virusi vya Zika.
Virusi vya Zika vinavyoonezwa na mbu
vimekuwa vikihusishwa na kuzaliwa watoto wenye vichwa vidogo na
ubungo usiokomaa.
Utoaji mimba ni kinyume na sheria za
Brazil, isipokuwa pale kwa dharura za kiafya ama mimba iliyotokana
na kubakwa.
Watu milioni tatu hadi milioni nne
wanaweza kuathiriwa na virusi vya Zika katika mataifa ya amerika
mwaka huu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni