.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 26 Januari 2016

MHAMIAJI WA MIAKA 15 AMCHOMA KISU NA KUMUUA MFANYAKAZI WA KIKE

Waziri Mkuu wa Sweden ameelezea tukio la kuchomwa kisu na kufa mfanyakazi mwanamke kwenye kituo cha kuhifadhia wahamiaji kuwa ni uhalifu wa kutisha.

Waziri Mkuu huyo Stefan Lofven ametembelea kituo hicho cha wahamiaji watoto wasio na waangalizi kilichopo Molndal, karibu na Gothenburg, saa kadhaa baada ya mauaji hayo.

Mtuhumiwa ambaye ni mhamiaji anayetafuta hifadhi mwenye umri wa miaka 15, amekamatwa kwa kumuua mwajiriwa mwenye umri wa miaka 22.
        Maafisa wa usalama wa Sweden wakiwa katika nyumba iliyotokea tukio hilo la mauaji

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni