.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 26 Januari 2016

SERENA WILLIAMS AMSHINDA MARIA SHARAPOVA NA KUTINGA NUSU FAINALI

Wapinzani wakuu katika mchezo wa tenesi wamechuani vikali katika mchezo ambao hata hivyo uliishi kwa Serena Williams kumfunga Maria Sharapova katika mchezo uliochezwa nchini Australia.

Kwa ushindi huo Williams amefika nusu fainali ya michuano hiyo ya Australian Open akitimiza michezo 18 ya kumshinda Mrusi Sharapova, ambapo katika mchezo huo alishinda kwa seti 6-4 6-1 baada ya kucheza kwa saa moja na dakika 32.
                        Serena Williams akirudisha mpira uliopigwa na Sharapova

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni