.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Januari 2016

MKUFUNZI WA YOGA BILIONEA APIGWA FAINI YA DOLA MILIONI 6 KWA UDHALILISHAJI

Mwanzilishi mkongwe wa mazoezi ya yoga ya joto nchini Marekania ameagizwa kulipa zaidi ya dola milioni 6 kwa wakili mwanamke ambaye alimdhalilisha kingono na kumfukuza kazi kuchunguza tuhuma hizo.

Mwanzilishi huyo milionea Mmarekani Bw. Bikram Choudhury, 69, ni maarufu kwa mbinu za yoga na alianza kufanya mazoezi ya yoga tangu mwaka 2002.

Fidia hiyo ya dola milioni 6 ni nyongeza ya dola milioni moja iliyotolewa kwa mwanamke huyo Minakshi Jafa-Bodden ambaye alikuwa ni mwanasheria na afisa uhusiano wa kimataifa wa Bw. Choudhury Jijini Los Angeles mwaka 2011 hadi 2013.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni