.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Januari 2016

TANGAZO LA KUOKOTWA VITAMBULISHO VYA EDDA MUSHI

                                   Picha ya msichana huyo kwenye moja ya vitambulisho vyake.
Mkoba wa mtu anayesadikika kuwa ni wa binti anayetambulika kwa jina la Edda J Mushi (pichani), umeokotwa maeneo ya Kota za Jeshi, Mtaa wa Nzasa, Mwenge jijijni Dar ambapo ndani yake kuna kadi ya benki ya CRDB na NMB, Kitambulisho cha kupigia kura, Kitambulisho cha NHIF huku kukiwa na kipochi kidogo.

Yeyote anayemfahamu binti huyu anaombwa ampe taarifa au apige simu kwenda namba 0683214128.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni