.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 18 Januari 2016

MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA, MHANDISI SULEIMAN AFARIKI DUNIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja Vya Ndege Tanzania, Mhandisi Suleiman Said Suleiman ( mwenye miwani ) amefariki dunia leo asubuhi. 

Taarifa zinasema kuwa, Mhandisi Suleiman alifariki dunia wakati akiwa mazoezi ya kuogelea. 

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni