.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 15 Januari 2016

MUME WA MWANAMUZIKI CELINE DION AFARIKI DUNIA BAADA YA KUUGUA KANSA KWA MUDA MREFU

Mwanamuziki Celine Dion akiwa na mumewe René Angélil ( picha hii ilipigwa mwaka 2011). 

Mume wa mwanamuziki Celine Dion, René Angélil amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73. 

René Angélil ameaga dunia jana alhamisi akiwa nyumbani kwake Las Vegas baada ya kusumbuliwa na kansa kwa muda mrefu. 

Taarifa iliyotolewa na familia yake imesema kuwa, René Angélil amekuwa akipambana na ugonjwa huo kwa muda mrefu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni