.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 14 Januari 2016

NCHI YA LIBERIA KUTATANGAZWA KUTOKUWA TENA NA MAAMBUKIZI YA EBOLA

Nchi ya Liberia itatangazwa kutokuwa tena na maambukizi ya Ebola na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kumalizika kwa mlipuko mbaya zaidi kuwahi kutokea wa ugonjwa huo duniani.

Hatua ya kumalizika kwa matukio ya ugonjwa wa Ebola Liberia itatangazwa baada ya siku 42 bila ya kuwepo kwa tukio la mgonjwa wa Ebola.

Liberia itaungana na mataifa ya Guinea na Sierra Leone, ambazo zilitangazwa kutokuwa tena na maambukizi ya Ebola mwaka jana. Ebola iliuwa watu 11,000 tangu Desemba 2013.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni